More

    AJIRA ZA MTENDAJI WA KIJIJI III – 8 POST – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

    Updates

    - Advertisement -
    POSTMTENDAJI WA KIJIJI III – 8 POST
    EMPLOYERHalmashauri ya Wilaya ya Kigoma
    APPLICATION TIMELINE:2024-09-28 2024-10-11
    JOB SUMMARYNIL
    DUTIES AND RESPONSIBILITIES
    1. Afisa Masuuli na mtendaji mkuu wa serikali ya kijiji;
    2. Kusimamia ulinzi na usalama wa raia na mali zao, kuwa mlinzi wa amani na msimamizi wa utawala bora katika kijiji;
    3. Kuratibu na kusimamia upangaji wa mipango ya maendeleo ya kijiji;
    4. Katibu wa mikutano na kamati zote za Halmashauri ya kijiji;
    5. Kutafsiri na Kusimamia Sera, Sheria na Taratibu;
    6. Kuandaa taarifa ya utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoa njaa, umaskini na kuongeza uzalishaji mali;
    7. Kiongozi wa wakuu wa vitengo vya klitaalam katika kijiji;
    8. Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na nyaraka za kijiji;
    9. Mwenyekiti wa kikao cha wataalam waliopo katika kijiji;
    10. Kupokea, kusikiliza na kutatua malalamiko na migogoro ya wananchi;
    11. Kusimamia utungaji wa Sheria Ndogo za kijiji; na 
    12. Atawajibika kwa Mtendaji Mkuu wa Kata.
    QUALIFICATION AND EXPERIENCE

    Kuajiriwa mwenye Elimu ya kidato cha Nne(IV) au Sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo: Utawala,Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

    REMUNERATIONTGS B

    APPLY HERE

    DWONLOAD THE JOB ANNOUNCEMENT FOR MORE DETAILS ABOUT THE JOB

    - Advertisement -

    Find the latest University Admission News below

    IFM Selected Applicants for the 2024/2025 Academic Year

    Every year, the Institute of Finance Management (IFM) conducts a...

    MUST Selected Applicants for the 2024/2025 Academic Year

    Mbeya University of Science and Technology (MUST) is pleased to...

    ARU Selected Applicants for the 2024/2025 Academic Year

    Ardhi University (ARU) releases the List of applicants selected to...
    UoA Selected Applicants for the 2024/2025 Academic Year

    The List of UoA Selected Applicants for 2024/2025

    The list of selected applicants for the 2024/2025 academic year...
    CAWM Selected Applicants for the 2024/2025 Academic Year

    CAWM -MWEKA Selected Applicants for the 2024/2025 Academic Year

    The list of selected applicants for the 2024/2025 academic year...

    SUA Selected Applicants for the 2024/2025 Academic Year

    The admission and selection process at Sokoine University of Agriculture...

    Get Notified

    Get Notified about latest articles published on Ajirakazi.co.tz

    About this Article

    Published date

    Category

    Tags

    Similar Articles

    Discover a wide range of job listings across various sectors below

    QUALITY ASSURANCE OFFICER II (CIVIL ENGINEERING) JOBS – 1 POST...

    Full timeQUALITY MNAGEMENT
    Read more

    Full timeMSAIDIZI WA KUMBUKUMBU

    Full timeLaboratory

    GRAPHICS DESIGNER II JOBS – 1 POST – Shirika la...

    Full time

    Full timeQUALITY MNAGEMENT

    Full timeQUALITY MNAGEMENT