More

    NAFASI YA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI III – 1 POST

    USD per month

    Are you interested with this position please Click the button below to apply Now

    JOB SUMMARY

    (i)Mtendaji Mkuu wa Serikali ya kijiji

    (ii)Katibu wa Kamati ya kijiji

    (iii)Mratibu wa utekelezaji wa Sera na Sheria zinazotekelezwa na Halmashauri  katika Kijiji

    (iv)Mshauri wa Kamati ya Kijiji kuhusu Mipango ya Maendeleo katika Kijiji.

    (v)Msimamizi wa Utekelezaji wa Sheria ndogo pamoja na Sheria nyingine zinazotumika katika Kijiji

    (vi)Mshauri wa Kamati ya Kijiji kuhusu masuala  ya Ulinzi na Usalama.

    (vii)Msimamizi wa Mtekelezaji wa mikakati mbalimbali inayohusu uondoaji wa njaa na Umasikini katika Kijiji.

    (viii)Kusimamia Ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri na kutunza kumbukumbu za walipa kodi.

    (ix)Atawajibika kwa Mtendaji wa Kata.

    QUALIFICATION AND EXPERIENCE

    Kuajiriwa mwenye Elimu ya kidato cha Nne(IV) au Sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo: Utawala,Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

    REMUNERATION: TGS B

    TO APPLY CLICK HERE

    Apply now

    About the role

    Job posted

    Company Website

    For more details about this job, please visit the company website below

    Job type

    Company Email Adres

    Company Phone Number

    Salary

    TZS

    Job Category

    Required skills

    Location

    Similar jobs

    Discover a wide range of job listings across various sectors below

    Senior Sales Manager at Four Seasons

    USD

    Full timeSales Executive

    Sales Agents at Airtel – Mwanza

    USD

    Full timeSales Executive

    USD

    Full timeLECTURER

    USD

    Full timeLECTURER

    USD

    Full timeMtendaji wa KijijiNafasi za kazi Sekretarieti ya Ajira (PSRS)

    USD

    Full timeINSURANCE AND RISK MANAGEMENTLECTURER